HII NI KWA MARA YA KWANZA JIJINI TANGA

HII NI KWA MARA YA KWANZA JIJINI TANGA
Tangaza biashara yako sasa uwafikie wateja wako kwa haraka na kwa gharama nafuu kupitia mfumo wa kisasa wa Digital Display Advertisement. Kupitia mfumo huu wateja wako watapata fursa ya kuona huduma zako na taarifa zote muhimu kupitia luninga kuwa za kisasa.

KIJIWE KIPYA CHA BURUDANI JIJINI TANGA

KIJIWE KIPYA CHA BURUDANI JIJINI TANGA
MPANGO MZIMA WA KULA BATA UKO HAPA

....HABARI NJEMA KWA AFYA YAKO...

....HABARI NJEMA KWA AFYA YAKO...
.....tumia fursa yako vizuri....

Tuesday, 9 February 2016

MATUMLA NA CHEKA KUZICHAPA SIKUKUU YA PASAKA DSM.





MABONDIA Francis Miyeyusho na Nassibu Ramadhani wamesaini mkataba wa makubaliano wa kuzipiga siku ya sikukuu ya Pasaka katika uwanja wa ndani wa taifa jijini Dar es salaam.

Akizungumzia mpambano uho mratibu wa mabambano hayo Rajabu Mhamila ‘Super D’ amesema kuwa amewasainisha mabondia hao kwa kuwa viwango vyao vipo juu sana katika kipindi hiki na ndio mpambano mkali utakaokuwa  wa kufungua mwaka 2016

Aliongeza kwa kusema mbali na mpambano huo siku hiyo pia kutakuwa na mapambano mengine ya kukata na shoka ambapo mabondia mbalimbali watazipiga siku hiyo.

Mohamed Matumla atavaana na Cosmas Cheka wakati mabondia Mada Maugo atavaana na Abdalla Pazi katika mpambano wa nani zaidi kati yao pia bondia Vicent Mbilinyi atavaana na Mwinyi Mzengela na Pius Kazaula wa Morogoro atamenyana na Seba Temba.

No comments:

Post a Comment