HII NI KWA MARA YA KWANZA JIJINI TANGA

HII NI KWA MARA YA KWANZA JIJINI TANGA
Tangaza biashara yako sasa uwafikie wateja wako kwa haraka na kwa gharama nafuu kupitia mfumo wa kisasa wa Digital Display Advertisement. Kupitia mfumo huu wateja wako watapata fursa ya kuona huduma zako na taarifa zote muhimu kupitia luninga kuwa za kisasa.

KIJIWE KIPYA CHA BURUDANI JIJINI TANGA

KIJIWE KIPYA CHA BURUDANI JIJINI TANGA
MPANGO MZIMA WA KULA BATA UKO HAPA

....HABARI NJEMA KWA AFYA YAKO...

....HABARI NJEMA KWA AFYA YAKO...
.....tumia fursa yako vizuri....

Wednesday 27 July 2016

LEO JULY 27 HISTORIA INATUKUMBUSHWA KUHUSU CHACHA WANGWE, JOHARI NA DONIE YEN..



LEO KATIKA HISTORIA MATUKIO
1976
Tetemeko kubwa la Ardhi lenye ukubwa wa 8.2 liliyakumba maeneo ya Tangshan China na watu wanaokadiriwa kufikia 240,000 walipoteza maisha.
1955
Ndege ya Abiria ya Israeli ilituunguliwa na wanajeshi wa Bulgaria, na watu 58 waliokuwa kwenye ndege hiyo walipoteza maisha.
WALIOZALIWA

BLANDINA CHANGULA.a.k.a JOHARI

Johari Katika Filamu ya Mkasa
Jina la Kiraia
Blandina Changula
Jina la kisanii
Johari
Nchi
Tanzania
Alizaliwa
27 Julai 1983
Kazi yake
Muigizaji
Miaka ya kazi
mn. 2002 hadi 2007
Ameshirikiana na
Steven Kanumba, Vincent Kigosi,Mwanaidi Suka nk.
Kampuni
Game First Quality

Blandina Changula (amezaliwa tar. 27 Julai 1983 mkoani Shinyanga, Tanzania ni muigizaji wa vipindi vya telesheni na filamu nchini Tanzania.
Blandina alipata elimu ya msingi katika shule ya Bugoyi mwaka 1990 hadi 1997 na kujiunga katika shule ya sekondari ya kutwa ya Buluba iliyopo Shinyanga mwaka 1998 hadi 1999.

Akiwa kidato cha pili alihamishiwa katika shule ya bweni ya Kanawa hukohuko mkoani Shinyanga mwaka 1999 hadi 2000 na mwaka huo huo baada ya kuingia kidato cha tatu akahamishiwa tena jijini Dar es Salaam katika shule ya Greens iliyokuwa maeneo ya Temeke kabla ya kuhamishiwa Ubungo shule ambayo alimalizia kidato cha nne hiyo ilikuwa mnamo mwaka 2001.

Blandina Changula anatokea kundi la Kaole Sanaa Group, ni kundi ambalo linafahamika sana nchini Tanzania kwa kutoa nyota wengi wa uigizaji, Blandina nae ni mmoja kati ya nyota hao, wengine ni Steven Kanumba, Vincent Kigosi (Mr Ray), Tea na wengine wengi tu kutoka Kaole Sanaa Group. 

Kwa hivi sasa Blandina Chagula kwa kushirikiana na msanii mwenzake Vincent Kigosi wana kampuni yao pamoja iitwayo RJ Company (Ray & Johari coumpany ) ambayo inafanya kazi ya kuzalisha filamu mbalimbali kama vile Bed Rest, Bad Luck , Wrong hope , Peace of mind , Fair Decision nk.
Neema Decoras
Maelezo ya awali
Jina la kuzaliwa
Neema Benard Decoras
Amezaliwa
27 Julai 1984 (umri 31)
Mbeya, Tanzania
Asili yake
Mbeya, Tanzania
Aina ya muziki
Gospel
Kazi yake
Mwimbaji, Mtunzi wa nyimbo
Miaka ya kazi
2012-hadi leo
Studio
Twins Records (2012)
Amba Records (2013–Hadi leo)
Neema Decoras (Amezaliwa Tarehe 27 Julai 1984) ni mwimbaji na mtunzi wa nyimbo za Injili za Kikristo mwenye kipawa na hodari kutoka nchini Tanzania ambaye amejitoa kuwa chombo imara cha Uinjilisti na kutumikia kusudi la Mungu katika wakati wake. Alizaliwa katika jiji la Mbeya, Tanzania na ni watatu kuzaliwa katika familia ya watoto saba.
Haja ya kuwa muimbaji wa kujitegemea ilianza kutimia mwishoni mwa mwaka wa 2012 Neema Decoras alipofanikiwa kurekodi wimbo wake uitwao “Mungu ni Mwema” katika studio iitwayo Twins Records iliyopo Riverside, Ubungo jijini Dar es Salaam chini ya mtayarishaji wa muziki aitwaye Gabriel Maulana.
Mnamo January mwaka wa 2013 mume wake alimpeleka kwa mtayarishaji wa muziki aitwaye Ambangile Mbwanji anayejulikana sana kama Amba ambaye ni mmiliki wa studio iitwayo Amba Records iliyoko Ukonga, Jijini Dar es Salaam, Tanzania.
Katika studio hiyo alifanikiwa kurekodi na kutoa albamu yake ya kwanza mwezi Julai mwaka wa 2013. Albamu hiyo iitwayo “Milele Nitalisifu Jina Lako” ina nyimbo nane ambazo zote ameziimba kwa lugha ya Kiswahili. Nyimbo zilizomo katika albamu hiyo ni; Milele Nitalisifu Jina Lako, Mikononi mwa Mungu, Unapojaribiwa, Nione Leo, Mungu ni Mwema, Rejea kwa Yesu, Ninaimba Sifa na Hakika Nimejua.
Kwa sasa Neema Decoras anaishi jijini Dar es Salaam ambapo amefanya maonyesho yake mengi sana japo yuko tayari kutumika katika Ibada, Matamasha na Mikutano ya Injili, Semina, Sherehe, na matukio mbalimbali ambayo yanahubiri Neno la Mungu popote pale ndani na nje ya Tanzania.

DONIE YEN
Born
27 July 1963 (age 52) Guangzhou, Guangdong, China
Occupation
Actor, martial artist, film director and producer, action choreographer
Years active
1983–present
Spouse(s)
Zing-Ci Leung (1993–1995)Cecilia Cissy Wang (2003–present)
Children
3
Style
Boxing, Brazilian Jiu-Jitsu, Judo, Kickboxing, Muay Thai, Taekwondo, Hapkido, Jeet Kune Do, Wing Chun, Wrestling, Wushu, Tai Chi, Karate, Hung Ga
Rank
     6th Degree Black Belt in Taekwondo
     Black Belt in Judo
     Purple Belt in Brazilian Jiu-Jitsu
     Gold Medals in Wushu Competitions



TUZO MBALI MBALI ALIZOSHIRIKI NA KUPATA
2009
Ip Man
Hong Kong Film Award
Best Actor
Nominated
2009
Ip Man
Huabiao Film Award
Outstanding Abroad Actor
Won
2010
Bodyguards and Assassins
Hundred Flowers Awards
Best Actor
Nominated
2011
Legend of the Fist: The Return of Chen Zhen
Hong Kong Film Award
Best Action Choreography
Nominated
2011
The Lost Bladesman
The 3rd Macau International Movie Festival
Best Actor
Won
2011
Dragon
Golden Horse Awards
Best Action Choreography
Won
2012
Dragon
Hong Kong Film Award
Best Action Choreography
Nominated
2014
Special ID
Hong Kong Film Award
Best Action Choreography
Nominated
2014
8th Asian Film Awards
8th Asian Film Awards
Asian Outstanding Actor
Won
2015
Youku Night Awards
Youku Night Awards
2014's Most Influential Actor
Won
2015
The Monkey King
15th Huading Awards
Best Actor
Won
2015
Kung Fu Jungle
Hong Kong Film Award
Best Action Choreography
Won
WALIOFARIKI
Chacha Zakayo Wangwe
Chacha Zakayo Wangwe (amezaliwa tar. 15 Julai 1956 - 27 Julai 2008) alikuwa mbunge machachari wa wa jimbo la Tarime katika bunge la kitaifa huko nchini Tanzania. Anatokea katika chama cha CHADEMA. Alifariki kwa jail ya gari Julai 27 2008 majira ya saa mbili usiku eneo la kongwa, mkoani dodoma.
Kwa mujibu wa habari hizo marehemu Wangwe, ambaye alikuwa ametokea bungeni dodoma ambako alihudhuria kikao cha asubuhi, alikuwa njiani kuelekea dar kwenye mazishi ya hayati mzee Bhoke Munanka ambaye amefariki dunia.


Emil Theodor Kocher
Emil Theodor Kocher (25 Agosti 184127 Julai 1917) alikuwa daktari mpasuaji kutoka nchi ya Uswisi. Alifanya na kuboresha pasuaji nyingi, hasa ya tezi dundumio. Mwaka wa 1909 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba. Alifariki 1917

No comments:

Post a Comment