Ligi Kuu Vodacom,
VPL, Leo itapigwa tena na Mabingwa Watetezi Yanga wapo huko Mkwakwani Jijini
Tanga kuivaa Coastal Union wakiwania kuzidi kupaa kileleni mwa Ligi hiyo.
Yanga
wanaongoza VPL wakiwa Pointi sawa na Azam FC lakini wao wako juu kwa ubora wa
Magoli na Leo ni nafasi safi kwao kuitupa mkono Azam FC ambao Mechi zao
zimefutwa kwa vile wako Ziarani huko Zambia.
Leo
pia zipo Mechi nyingine 5 na Jijini Dar es Salaam, Simba, ambao wako Nafasi ya
3 wakiwa Pointi 6 nyuma ya Yanga na Azam FC, watacheza na African Sports ya
Tanga ambayo ni ya pili toka mkiani lakini hivi sasa wamekaza buti na kuambua
Sare mfululizo dhidi ya Timu ngumu Mtibwa Sugar, waliyotoka 0-0 na Azam FC,
waliyopata 1-1.
Mechi
nyingine hii Leo ni zile za huko Morogoro kati ya Mtibwa Sugar na Stand
United, Mwadui FC v Toto Africans, Kagera Sugar v Mbeya City na JKT
Ruvu kuivaa Majimaji.
LIGI
KUU VODACOM
Ratiba:
Jumamosi
Januari 30
Coastal
Union v Yanga
Simba
v African Sports
JKT
Ruvu v Majimaji
Tanzania
Prisons v Azam FC [IMEAHIRISHWA]
Mtibwa
Sugar v Stand United
Mwadui
FC v Toto Africans
Kagera
Sugar v Mbeya City
Jumapili
Januari 31
Mgambo
JKT v Ndanda FC
Jumatano
Februari 3
Kagera
Sugar v Majimaji
Tanzania
Prisons v Yanga
Simba
v Mgambo JKT
JKT
Ruvu v Mbeya City
African
Sports v Mwadui FC
Mtibwa
Sugar v Toto Africans
Azam
FC v Stand United
Coastal
Union v Ndanda FC
Jumamosi
Februari 6
Kagera
Sugar v Simba
Mbeya
City v Tanzania Prisons
JKT
Ruvu v Yanga
African
Sports v Stand United
Leo
Simba itaikaribisha African Sports kwenye uwanja wa Taifa, Dar katika
mchezo wa kwanza wa ngwe ya lala salama ya Ligi Kuu Tanzania Bara.Makocha wote
wameweka hadharani vikosi vyao walivyopanga kuvitumia katika pambano la leo. NIPE MAONI YAKO HAPA.
KIKOSI CHA SIMBA
1.
GK.Vincent
Angban
2.
Hassan
Kessy
3.
Abdi
Banda
4.
Hassan
Isihaka
5.
Juuko
Murshid
6.
Justice
Majabvi
7.
Mwinyi
Kazimoto
8.
Jonas
Mkude
9.
Hamisi
Kiiza
10.
Ibrahimu
Hajibu
11.
Hajib
Ugando
Akiba:
·
Manyika
Peter
·
Emery
Nimubona
·
Said
Ndemla
·
Novalty
Lufunga
·
Brian
Majwega
·
Mussa
Mgosi
·
Awadh
Juma
KIKOSI CHA AFRICAN
SPORTS:
1.
Zakaria
Mwaluko
2.
Mwaita
Gereza
3.
Halfan
Twenye
4.
Juma
Shemvuni
5.
Rahim
Juma
6.
Mussa
Chambega
7.
Ally
Ramadhan
8.
Pera
Ramadhan
9.
Hamad
Mbumba
10.
Rajabu
Isihaka
11.
James
Medy
Akiba
·
Faraji
Kabali
·
Nzara
Ndaro
·
Ally
Ahmed
·
Ramadhan
Msheli
·
Fadhil
Kizenga
·
Hussein
Amir
·
Mohamed
Issa
No comments:
Post a Comment