Mchezo wa watani
kutoka mkoani Tanga umemalizika kwa sare ya goli 1-1 katika muendelezo wa ligi
kuu ya vodacom uliochezwa katika uwanja wa Mkwakwani mkoani Tanga.
Katika mchezo huo ulioanza kwa kila upande kumuogopa mwenzake huku kukitawaliwa na mipira mirefu zaidi kwa takribani dakika zote 90.
Africana Sports ndio walikuwa wa mwanzo kupata goli katika dakika ya 15 kupitia kwa Muhammde Mtindi akimalizia mpira wa kona.
Kuingia kwa goli hilo kuliwatuliza Coastal union huku kukiwapa utulivu African sports na kuanza kucheza soka la uhakika.
Katika dakika ya 24 Juma Mahadhi alimalizia pasi murua ya Absalim Chidebile na kupelekea mchezo kwenda mapumziko wakiwa sare ya goli 1-1.
Katika kipindi cha pili Coastal union na African sports waliemndelea kucheza mchezo wao wa mipira mirefu ambapo katika dakika ya 88 African Sport walifunga goli lililo kataliwa na mwamuzi kwa madai mfungaji alikuwa ameotea na kupelekea mchezo kumalizika kwa sare ya goli 1-1.
Katika mchezo huo ulioanza kwa kila upande kumuogopa mwenzake huku kukitawaliwa na mipira mirefu zaidi kwa takribani dakika zote 90.
Africana Sports ndio walikuwa wa mwanzo kupata goli katika dakika ya 15 kupitia kwa Muhammde Mtindi akimalizia mpira wa kona.
Kuingia kwa goli hilo kuliwatuliza Coastal union huku kukiwapa utulivu African sports na kuanza kucheza soka la uhakika.
Katika dakika ya 24 Juma Mahadhi alimalizia pasi murua ya Absalim Chidebile na kupelekea mchezo kwenda mapumziko wakiwa sare ya goli 1-1.
Katika kipindi cha pili Coastal union na African sports waliemndelea kucheza mchezo wao wa mipira mirefu ambapo katika dakika ya 88 African Sport walifunga goli lililo kataliwa na mwamuzi kwa madai mfungaji alikuwa ameotea na kupelekea mchezo kumalizika kwa sare ya goli 1-1.
MATOKEO YA MICHEZO YA JUMAMOSI
NA JUMAPILI
Jumamosi
Majimaji
1-5 Toto Africans
Stand United 0-2 Mwadui Fc
Simba Sc 2-2 Azam Fc
Mbeya City 2-2 Mtibwa Sugar
Kagera Sugar 1-1 Ndanda Fc
Mgambo Shooting 0-0 Yanga Sc
Stand United 0-2 Mwadui Fc
Simba Sc 2-2 Azam Fc
Mbeya City 2-2 Mtibwa Sugar
Kagera Sugar 1-1 Ndanda Fc
Mgambo Shooting 0-0 Yanga Sc
Jumapili
Jkt
Ruvu 4-1 T.Prisons
African
Sport 1-1 Coastal Union
MSIMAMO WA LIGI KUU YA VODACOM BAADA YA MICHEZO YA LEO
Rn
|
Timu
|
P
|
W
|
D
|
L
|
F
|
A
|
Gd
|
Pts
|
1
|
Azam
FC
|
10
|
8
|
2
|
0
|
22
|
7
|
15
|
26
|
2
|
YANGA
|
10
|
7
|
3
|
0
|
22
|
5
|
17
|
24
|
3
|
MTIBWA
SUGAR
|
10
|
7
|
2
|
1
|
14
|
7
|
7
|
23
|
4
|
SIMBA
SC
|
10
|
7
|
1
|
2
|
17
|
7
|
10
|
22
|
5
|
STAND
UNITED
|
11
|
6
|
1
|
4
|
11
|
6
|
5
|
19
|
6
|
MWADUI
FC
|
11
|
5
|
3
|
3
|
13
|
10
|
3
|
18
|
7
|
T.
PRISONS
|
11
|
5
|
2
|
4
|
11
|
14
|
-3
|
17
|
8
|
TOTO
AFRICANS
|
11
|
4
|
4
|
3
|
11
|
13
|
-2
|
16
|
9
|
MGAMBO
SHOOTING
|
11
|
3
|
3
|
5
|
6
|
9
|
-3
|
12
|
10
|
MAJIMAJI
FC
|
11
|
3
|
2
|
6
|
7
|
19
|
-12
|
11
|
11
|
MBEYA
CITY
|
11
|
2
|
4
|
5
|
10
|
11
|
-1
|
10
|
12
|
NDANDA
FC
|
10
|
1
|
6
|
3
|
7
|
9
|
-2
|
9
|
13
|
Coastal
Union
|
11
|
1
|
5
|
5
|
3
|
9
|
-6
|
8
|
14
|
JKT
RUVU
|
11
|
2
|
2
|
7
|
10
|
17
|
-7
|
8
|
15
|
KAGERA
SUGAR
|
11
|
1
|
3
|
7
|
3
|
14
|
-11
|
6
|
16
|
AFRICAN
SPORT
|
10
|
1
|
1
|
8
|
2
|
12
|
-10
|
4
|
Michezo Inayokuja
2015-12-16
2015-12-16
16:00
|
African Sport
|
Vs
|
Yanga
|
2015-12-19
16:00
|
Yanga
|
Vs
|
Stand United
|
16:00
|
Mwadui Fc
|
Vs
|
Ndanda Fc
|
16:00
|
Kagera Sugar
|
Vs
|
African Sport
|
16:00
|
T.Prisons
|
Vs
|
Mtibwa Sugar
|
16:00
|
Toto Africans
|
Vs
|
Simba Sc
|
16:00
|
Majimaji
|
Vs
|
Azam Fc
|
No comments:
Post a Comment