Mgambo jkt
|
0
|
:
|
2
|
Simba sc
|

Simba sc jana wameifunga jkt mgambo goli 2-0 katika muendelezo wa michezo ya ligi kuu tanzania bara ambapo leo michezo yote 8 ilichezwa katika viwanja 8 tofauti.
Simba sc walianza kusheherekea ushindi wao katika dakika ya 28 kupitia kwa justice majabvi, goli ambalo liliwapeleka simba sc mapumziko wakiwa mbele kwa goli 1-0.
Mtoke benchi hamisi kiiza akichukuwa nafasi ya mwingi kazimoto aliiandikia simba sc goli la 2 katika dakika ya 73 na kuihakikshia simba sc ushindi wa kwanza mbele ya mgambo shooting katika uwanja wa mkwakwani.
Hadi kipenga cha mwisho kinapulizwa simba sc walikuwa mbele kwa goli 2-0 na kupelekea kufikisha pointi 6 katika msimamo wa ligi kuu ya vodacom.
Mbeya city
|
3
|
:
|
0
|
Jkt ruvu
|
Jkt ruvu wameendeleza
jinamizi la kupoteza mchezo baada ya jana kukubali kichapo cha pili mfululizo
toka kwa mbeya city, ambayo nayo ilipoteza mchezo wake wa kwanza.
Katika mchezo wa leo mbeya city walianza kuandika goli lao la kwanza katika
dakika ya 25 kupitia kwa joseph mahundi goli liliowapeleka mbeya city mapumziko
wakiwa mbele kwa goli 1-0.
Katika kipindi cha pili mbeya city walifanikiwa kufunga magoli mawili yaliyofungwa na themi felix katika dakika ya 56 kwa mkwaju wa penati, na jingine kupitia david kabole katika dakika ya 68.mpaka dakika 90 zinakamilika mbeya city walikuwa mbele kwa goli 3-0 na kufanikiwa kujikusanyia pointi zake tatu katika uwanja wake wa sokoine ya mbeya.

Katika kipindi cha pili mbeya city walifanikiwa kufunga magoli mawili yaliyofungwa na themi felix katika dakika ya 56 kwa mkwaju wa penati, na jingine kupitia david kabole katika dakika ya 68.mpaka dakika 90 zinakamilika mbeya city walikuwa mbele kwa goli 3-0 na kufanikiwa kujikusanyia pointi zake tatu katika uwanja wake wa sokoine ya mbeya.
Yanga
|
3
|
:
|
0
|
T.prisons
|

Katika mchezo wa jana yanga sc walianza kupata goli kupitia kwa mbuyu twite aliyemalizia mpira alio utema kipa wa prisons mohamed yusuf katika dakika ya 30.
Wakati timu zinajiandaa kwenda mapumziko amisi tambwe aliiandikia yanga goli la pili katika dakika za nyongeza na kuipeleka yanga mapumziko wakiwa mbele kwa goli 2-0.
Kipindi cha pili kilirejea kwa kasi, huku prisons wakisaka goli, wakati yanga wakisakata soka safi na kusaka goli lazidi ndipo katika dakika ya 59 yanga walipata penati iliyopigwa kwa ufasaha na donald ngoma na kuipa yanga ushindi wa goli 3-0.
Yanga sc wamefikisha pointi 6 wakiwa na magoli 5 ya kufunga huku wakiwa bado hawajaruhusu goli katika nyavu zake na kujikuta wakiwa kileleni mwa ligi.
Matokeo ya mechi za jana
kwa ujumla. 2015-09-16
Ft
|
Yanga
|
3
|
:
|
0
|
T.prisons
|
Ft
|
Mgambo jkt
|
0
|
:
|
2
|
Simba sc
|
Ft
|
Majimaji
|
0
|
:
|
0
|
Kagera sugar
|
Ft
|
Mbeya city
|
3
|
:
|
0
|
Jkt ruvu
|
Ft
|
Stand united
|
0
|
:
|
2
|
Azam fc
|
Ft
|
Toto africans
|
1
|
:
|
2
|
Mtibwa sugar
|
Ft
|
Ndanda fc
|
1
|
:
|
0
|
Coastal union
|
Ft
|
Mwadui fc
|
1
|
:
|
0
|
African sport
|
Michezo inayokuja
2015-09-19
2015-09-19
16:00
|
Stand united
|
Vs
|
African sport
|
16:00
|
Mgambo jkt
|
Vs
|
Majimaji
|
16:00
|
T.prisons
|
Vs
|
Mbeya city
|
16:00
|
Yanga
|
Vs
|
Jkt ruvu
|
2015-09-20
16:00
|
Mwadui fc
|
Vs
|
Azam fc
|
16:00
|
Mtibwa sugar
|
Vs
|
Ndanda fc
|
16:00
|
Simba sc
|
Vs
|
Kagera sugar
|
16:00
|
Coastal union
|
Vs
|
Toto africans
|
![]() | |||
No comments:
Post a Comment